Logo

Uongozi

Uongozi wa KKKT Kimara

Usharika wa KKKT Kimara umeongozwa na wachungaji takribani kumi na moja (11) tangu kuanzishwa kwake. Mwinjilisti wa kwanza kuhudumia usharika huu alikuwa Mwinjilisti Shemsanga.

Kwa muda wote, usharika umekuwa ukitekeleza mipango mkakati inayolenga kufanikisha malengo ya Jimbo la Mashariki na hatimaye Dayosisi ya Mashariki na Pwani.

Katika kipindi cha miaka 15 (2009–2023), Baraza la Wazee likiongozwa na Mwenyekiti wake, Mch. Mastai, pamoja na Mchungaji mwenza wa sasa, Mch. Maseghe, limefanikiwa kufanikisha mambo mengi kwa kushirikiana na watumishi wengine wa Usharika.

Inakadiriwa waumini mia moja (100) huongezeka kila mwaka, kiwango kinachoweza kuanzisha usharika mpya kila mwaka.

Saraphina Pallangyo

MHASIBU

Ernestina Ernest Mangweshi

KATIBU WA JUMUIYA

James Redson Lyimo

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Ivan Mwaipaja

KATIBU WA JUMUIYA

JUDITH ABEL MRETA

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Neema Jonathan Mmbando

MHASIBU

Benard Urassa

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Yohana Lazaro Wanzage

KATIBU WA JUMUIYA

William Eliakira Pallangyo

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Hekima Mbululo

KATIBU WA JUMUIYA

Anna Maro

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA

Agness Daniel Lema

MHASIBU

Goodluck Lewis Lyatuu

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Hilton Godfrey Temba

KATIBU WA JUMUIYA

VICENT CHARLES JAWA

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Ivan Mwaipaja

KATIBU WA JUMUIYA

AISIMBO MWASHA

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA

LUSEKELO ANDREW.MWAKAGENDA

KATIBU WA JUMUIYA

John Patrick Tumwimike

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Yohana Lazaro Wanzage

KATIBU WA JUMUIYA

PRAYGOD MACHANGE

KATIBU WA JUMUIYA

RICHARD A MKOCHA

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Bruno Tarimo

MWENYEKITI WA JUMUIYA

NELSON E KOKA

KATIBU WA JUMUIYA

WILLIAM KYANDO

MWENYEKITI WA JUMUIYA

MERCY JAMES MARIKI

KATIBU WA JUMUIYA

Omega Eliah Mwangono

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Elisha Kingu

KATIBU WA JUMUIYA

Julieth Malaki Yongolo

KATIBU WA JUMUIYA

James Chalila

KATIBU WA JUMUIYA

ELIHURUMA WILFTED MARIKI

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Hekima Mbululo

KATIBU WA JUMUIYA

Elizabeth John Lyimo

KATIBU WA JUMUIYA

Martin Zakaria Lyimo

MWENYEKITI WA JUMUIYA

EVELYNE MUKAMA

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA

EVELINE W.LEMA

MWENYEKITI WA JUMUIYA

Theresia Benedict Mvungi

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA

ROBERT DAMAS SANGA

KATIBU WA JUMUIYA

Heriamini Mghase

MWENYEKITI WA JUMUIYA

ELIESHI ERASTO SLAA

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA

ADELINE .E. MAKERE

MWEKA HAZINA MSAIDIZI WA JUMUIYA