maombi
Maombi
Kanisa la KKKT Kimara lina Ibada za Maombi ambazo hufanyika kila siku, kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa. Ratiba ya ibada hizi ni kama ifuatavyo:
- Muda: Kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka saa 10:00 jioni.
Ibada hizi zinaongozwa na watumishi wa kanisa na viongozi wa maombi.